Featured Post

This city is known as Dar es salaam, a business center of Tanzania, Located in East Africa

This city is known as Dar es salaam       This city is known as Dar es salaam, the business city of Tanzania, Located in East Afri...

Thursday, August 29, 2013

HII NDIO RATIBA KAMILI YA MAKUNDI UEFA CHAMPIONS LEAGUE 2013/14

Ratiba ya Klabu bingwa Ulaya Imetoka

Man United imepangwa kundi la kwanza (A) sambamba na Real sociedad, Leverkusen
na Shaktar Donetsk.......
huku Kundi B likizihusisha REAL MADRID, JUVENTUS, GALATASARAY na FC COPENHAGEN kundi C linazihusisha timu za BENFICA, PSG, OLYMPIACOS na ANDERLECHT ya Ubelgiji

MAN CITY, BAYERN MUNCHEN, CSKA MOSCOW na PLZEN ya czech republic zimepangwa kungwa kundi D

wakati kundi F lenye timu za ARSENAL, MARSEILE, DORTMUND na NAPOLI zikionekana kuwa kundi gumu zaidi,  BARCELONA wanakutana Na AC MILAN,Celtic na AJAX katika kundi H

huku mabingwa wa UEFA EUROPA CUP klabu ya CHELSEA yenyewe imepangwa kundi E sambamba na Shalke, Fc Basel na STEAUA BUCAREST




No comments:

Post a Comment