Ultimately free copy magazine about Tanzania's lifestyle,history, people, tradition, culture, sports, buy n sell, etc.
its a monthly edition published by
Maxdal company Limited
P.O. Box 104779
Dar es salaam, Tanzania
call or mail us
▼
Sunday, March 23, 2014
WANASOKA WENYE KASI ZAIDI DUNIANI
KUNA WACHEZAJI WENGI DUNIANI WENYE KASI ZAIDI DUNIANI
ToWNSEND wa SPURS, CHICHARITO wa MAN uTD, Rahim Steiring wa Liverpool Na wengine wengi.....
lakini kati ya hawa Hakuna hata mmoja wao katika orodha ya Kumi Bora
Ifuatayo ndio ORODHA YA WACHEZAJI WENYE KASI ZAIDI DUNIANI kwa MUJIBU WA FIFA
10.
Alexis Sanchez (Barcelona) – 30,1 km/Kwa saa
9. Arjen Robben (Bayern Munchen) – 30,7 km/Kwa saa
8. Franck Ribery (Bayern Munchen) – 30,7 km/Kwa saa
7. Wayne Rooney (Manchester United) – 32,1 km/ kwa saa
6. Lionel Messi (Barcelona) – 32,5 km/kwa saa
5. Cristiano Ronaldo (Real Madrid) – 33,6 km/kwa saa
4. Aaron Lennon (Tottenham) – 33,8 km kwa saa
3. Gareth Bale (Real Madrid) – 34,7 km kwa saa
2. Antonio Valencia (Manchester United) – 35,2 km kwa saa
No comments:
Post a Comment